Madrid, HispaniaKlabu ya Real Madrid ya Hispania inatarajia kutangaza usajili wa kiungo wa Borrusia Dortmund na timu ya Taifa ya England, Jude Be...
London, EnglandBeki wa pembeni, Mtanzania Novatus Dismas anayekipiga katika klabu ya Zulte Waregem ya Ubelgiji anawaniwa na timu za Southampton n...
Na mwandishi wetuHatimaye imesalia siku moja kabla ya kupigwa mechi ya fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga na USM Alger...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema uteuzi wa Mels Daalder (pichani), utakuwa na msaada mkubwa kwake kati...
Rio de Janeiro, BrazilBrazil itacheza mechi mbili za kirafiki na timu za Afrika kama sehemu ya kupiga vita visa vya ubaguzi wa rangi anavyokumban...
Na mwandishi wetuKocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amesema kwa sasa wanafanya kazi ya kupunguza presha ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrik...
Roma, ItaliaKocha wa AS Roma ya Italia, Jose Mourinho amesema kwamba Tottenham Hotspur ni klabu pekee ambayo amewahi kuwa kocha wake lakini hana ...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Geita Gold, Fred Felix Minziro amesema bado hafahamu hatma yake ya kuendelea kuinoa timu hiyo kutokana na kufika u...
Na mwandishi wetuLicha ya mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri kuonekana kutotumika kwenye kikosi cha timu hiyo hivi karibuni, kocha mkuu wa timu h...
Na mwandishi wetuKiungo wa Simba, Cletous Chama amesema amekuwa akitumiwa jumbe mbalimbali za kumkosoa kutoka kwa mashabiki baada ya timu yao kus...