Rabat, MoroccoNahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah amepuuza habari inayoiweka timu yao katika orodha ya timu zinazope...
Kimataifa
Manchester, EnglandKlabu ya Manchester United imemfuta kazi kocha Ruben Amorim baada ya kushikilia wadhifa huo kwa kipindi kisichozidi miezi 14.U...
Rabat, MoroccoUmewahi kusikia hadithi ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kufa kiume, achana na hadithi zote za nyuma, hadithi ya kweli im...
Na Hassan KinguTimu ya taifa ya Morocco imekamilika kila idara, historia yake inatisha, si Afrika tu bali duniani kote, tayari imeonesha ubora wa...
Libreville, GabonSerikali nchini Gabon imechukua uamuzi mgumu wa kuifuta timu ya taifa baada ya kufanya vibaya kwenye fainali za Afcon zinazoende...
Madrid, HispaniaHabari ya winga wa Real Madrid, Rodrygo kutaka kuachana na timu hiyo imeibuka kwa mara nyingine na tayari timu za Arsenal, Man Un...
Rabat, MoroccoKocha wa timu ya taifa ya Nigeria, Eric Chelle amewajia juu wachambuzi waliokuwa wakimkosoa baada ya timu yake kupata ushindi wa ma...
Rabat, MoroccoTimu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa mara ya kwanza imeingia hatua ya mtoano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)...
Rabat, MoroccoTimu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imetoka sare ya bao 1-1 na Uganda Cranes katika mechi ya Kundi C ya fainali za Kombe la Mata...
Manchester, EnglandKocha wa Man United, Ruben Amorim amesema kwamba haiwezekani kumpata mbadala wa kiungo na nahodha wake, Bruno Fernandes ambaye...