Liverpool, EnglandKlabu ya Liverpool imetangaza kumfuta kazi aliyekuwa kocha wake, Arne Slot baada ya kuinoa timu hiyo kwa misimu miwili.Slot, 47...
Porto, UrenoKocha wa timu ya Ureno, Roberto Martinez amesema hakuna wa kutilia shaka habari kuwa Cristiano Ronaldo anaweza kucheza katika fainali...
Na mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Bo...
Madrid, HispaniaJose Mourinho au Speacial One anadaiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Real Madrid ingawa atatangazwa rasmi baada ya ...
Rabat, MoroccoTimu ya soka ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, inasubiri kuikabili Senegal katika fainali ya Kombe la Mataif...
Manchester, EnglandMshambuliaji wa zamani wa Man United, Wayne Rooney amesema kocha Pep Guardiola ambaye hivi karibuni ametangaza kuachana na kla...
Na mwandishi wetuKlabu ya soka ya Yanga imetozwa faini ya Sh milioni 30 kwa kosa la wachezaji wake na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia...
Barcelona, HispaniaBarcelona au Barca Jumapili Mei 10, 2026 wametwaa taji la La Liga msimu wa 2025-26 baada ya kuwachapa mahasimu wao Real Madrid...
Na mwandishi wetuTimu ya taifa ya Tanzania ya Wasichana chini ya miaka 20, Tanzanite Queens imefuzu fainali za Fifa za Kombe la Dunia-U20 2026 ba...
Liverpool, EnglandWinga wa Liverpool, Mohamed Salah amesema kwa sasa yupo katika hali ya amani baada ya kukubali kuachana na klabu hiyo mwishoni ...