Chartlotte, MarekaniLeo, Ijumaa Februari 17, nyota wa zamani wa mpira wa kikapu, Michael Jordan anasherehekea miaka 60 ya kuzaliwa kwa kutoa dola...
Rio de Janeiro, BrazilShirikisho la Soka Brazil (CBF) sasa litakuwa na haki ya kutoa adhabu kwa timu ambayo mwajiriwa au shabiki wake atahusika n...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amesema kuwa licha ya ubora aliokuwa nao beki wa kati wa timu hiyo, Mamadou Doumbia, bado ...
Na mwandishi wetuMaofisa wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf) wametua nchini kwa ajili ya kufanya ukaguzi kwa timu ya Simba kuelekea ushiriki wao w...
London, EnglandMpango wa bilionea wa Marekani mwenye asili ya Iran, Jahm Najafi kutaka kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur umegonga mwamba baada ...
Na mwandishi wetuNahodha wa Simba Queens, Opa Clement amesema tuzo mbili za mchezaji bora wa mwezi alizobeba mfululizo zimempa hamasa ya kuendele...
Na mwandishi wetuWapinzani wa Simba SC, Raja Casablanca wametua nchini mchana wa leo tayari kwa mchezo wao wa pili wa hatua ya makundi wa Ligi ya...
Paris, UfaransaVigogo wa klabu za Paris Saint-Germain (PSG) na Chelsea inadaiwa walikutana Jumanne hii kujadili uhamisho wa mshambuliaji wa PSG, ...
Barcelona, HispaniaLeo Alhamisi, Man United na Barca zinaumana katika Europa Ligi huku kocha wa Barca, Xavi Hernandez (pichani) akimtaja, Marcus ...
London, EnglandArsenal jana Jumatano usiku ililala kwa mabao 3-1 mbele ya Man City na kushushwa kileleni, lakini kocha wa timu hiyo, Mikel Arteta...