Na mwandishi wetuUwanja wa Benjamin Mkapa au Kwa Mkapa kumeendelea kuwa pagumu kwa timu ya Simba baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Azam ka...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Mbwana Makata amesema wapo kwenye maandalizi makali ya kuhakikisha wanapata matokeo kwenye mechi ya...
Na mwandishi wetuShirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) limeomba kurudishwa kwa mchezo wa mpira wa kikapu katika mashindano ya Umoja wa Mic...
Paris, UfaransaKlabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa inadaiwa kuwa mbioni kumrudisha kocha wake wa zamani, Thomas Tuchel ili kurithi mik...
Na mwandishi wetuUbora wa kikosi cha timu ya Singida Big Stars unampa matumaini kocha mkuu wa timu hiyo, Hans Pluijm (pichani) kumaliza msimu huu...
Na mwandishi wetuKocha Msaidizi Yanga, Cedric Kaze amekiri timu yake kupata upinzani mkubwa wanapoumana na KMC lakini watapambana kupata ushindi ...
Na Hassan KinguSimba hii tusiidharau, bado ina nafasi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya kufungwa mabao 3-0 na Raja Casablanca ya Morocco na...
Liverpool, EnglandMmiliki wa klabu ya Liverpool, John Henry amesema kwa sasa hawana mpango wa kuiuza klabu hiyo licha ya hapo kabla kunukuliwa ak...
London, EnglandKlabu ya Tottenham Hotspur imeyataka makampuni ya mitandao ya kijamii kuchukua hatua baada ya mchezaji wao, Son Heung-min kushambu...
Manchester, EnglandMarcus Rashford ameendelea kuwa moto, mabao mawili aliyofunga kati ya matatu katika ushindi wa Man United wa mabao 3-0 dhidi y...