Na mwandishi wetuYanga hatimaye imerejesha furaha kwa mashabiki baada ya kuilaza TP Mazembe ya DR Congo mabao 3-1 katika mechi ya Kombe la Shirik...
Na mwandishi wetuJumamosi imekuwa siku ya hovyo kwa timu ya Simba baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-0 mbele ya Raja Casablanca kwenye Uwanja ...
Na mwandishi wetuTimu ya Yanga imeeleza kuwa imejipanga kesho Jumapili kurejesha furaha kwa mashabiki wake kwa kuibuka na ushindi watakapovaana n...
Na mwandishi wetuLicha ya kufungwa mabao 3-2 na Geita Gold, timu ya Ruvu Shooting imeeleza kuwa bado ina nafasi ya kuendelea kupambana kuhakikish...
Na mwandishi wetuKipa wa Yanga, Abuutwalib Mshery atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi mitatu akiuguza goti baada ya kufanyiwa upas...
Istanbul, UturukiMwanasoka wa kimataifa wa Ghana, Christian Atsu amekutwa amekufa baada ya kutokea tetemeko na kuharibu nyumba aliyokuwa akiishi ...
London, EnglandMtu mmoja anayeaminika kuwa shabiki wa Tottenham Hotspur, amekiri mahakamani kuwa alimpiga kipa wa Arsenal, Aaron Ramsdale wakati ...
Liverpool, EnglandKlabu mahasimu Liverpool na Everton zimeingia matatani na sasa zinasubiri kuadhibiwa kwa kushindwa kuwazuia wachezaji wao kuing...
Barcelona, HispaniaSaa kadhaa kabla ya mechi kati ya Barca na Man United, kocha wa Barca, Xavi Hernandez alimpamba Marcus Rashford akisema ni msh...
London, EnglandChama cha Soka England (FA), kimeanzisha uchunguzi baada ya mchezaji wa Man City, Kevin de Bruyne kurushiwa vitu uwanjani katika m...