Na mwandishi wetuUongozi wa Yanga SC umeeleza kuwa uko kwenye mikakati kabambe kuhakikisha wanavuna pointi zote sita za mechi zao mbili mfululizo...
Riyadh, Saudi ArabiaMastaa wa soka duniani, Lionel Messi wa Inter Miami FC ya Marekani na Cristiano Ronaldo wa A Nassr ya Saudi Arabia watakutana...
Na mwandishi wetuNahodha msaidizi wa Azam FC, Sospeter Bajana amesema amejipanga kubeba tuzo ya mfungaji bora wa Ligi Kuu NBC msimu huu.Akizungum...
Marrakesh, MoroccoMshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen ameibuka kinara wa uzo ya mwanasoka bora wa Afrika 2023 akiw...
Ankaragucu, UturukiShirikisho la Soka Uturuki (TFF) limesimamisha mechi zote za ligi nchini humo baada ya rais wa klabu ya Ankaragucu, Faruk Koca...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amempongeza kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua kwa kiwango bora anachokionesha...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema mchezo wao dhidi ya Wydad AC ni fainali kwao kwani ndio ulioshikilia hatma ya...
Milan, ItaliaMshambuliaji wa zamani wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic ambaye amestaafu soka, amerudi kwa mara nyingine katika klabu hiyo baada ya k...
Na mwandishi wetuMwenyekiti wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu ameeleza kuwa hana la kufanya kwa wanaomkosoa na kumpigia kelele katika uongozi w...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime ametamba kuifunga Simba katika mchezo wa Ligi Kuu NBC utakaochezwa Desemba 15, mwaka hu...