Na mwandishi wetuMchakato wa kumpata kocha mkuu mpya wa Ihefu FC atakayerithi mikoba ya Moses Basena (pichani) umefikia katika hatua nzuri na wan...
Na mwandishi wetuBao pekee la dakika za lala salama limeizamisha Simba katika mechi yake ya tatu ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika d...
Manchester, EnglandKocha wa Man United, Erik ten Hag amesema hatma ya winga wa timu hiyo Jadon Sancho kurudi katika kikosi cha kwanza ipo mikonon...
London, EnglandKocha wa Arsenal, Mikel Arteta amesema ataendelea kudhihirisha hisia na mihemko anayokuwa nayo kwenye mechi licha ya kuwa tayari a...
Na mwandishi wetuMichuano ya Ngao ya Jamii kwa Wanawake inatarajia kuchezwa kwa mara ya kwanza leo Jumamosi ambapo michezo miwili itapigwa kwenye...
London, EnglandBeki wa Man United, Harry Maguire na kocha wake Erik ten Hag wameshinda tuzo za mchezaji na kocha bora kwa mwezi Novemba, tuzo amb...
Na mwandishi wetuTimu ya Yanga ikiwa ugenini nchini Ghana, leo Ijumaa imetoka sare ya bao 1-1 na Medeama katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila ameuomba uongozi wa timu hiyo kutenga kiasi kikubwa cha pesa ili kufanya usajili wa n...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema hajashangazwa na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya KMC jana Alhamisi kwenye Uwanja wa ...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ametinga kwenye hatua ya mwisho ya tatu bora ya kuwania tuzo ya kocha bora wa Afrika ina...