Na mwandishi wetuKaimu kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Morocco amesema wana wakati mgumu juu ya hali ya hewa ya barid...
Manchester, EnglandBilionea na mmiliki mwenza wa klabu ya Man United, Sir Jim Ratcliffe inadaiwa amemtaja kocha wa England, Gareth Southgate kuwa...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema ugumu wa ratiba ni chanzo cha kikosi chake kupoteza mchezo wa Ligi Kuu NBC dhidi ya...
Buenos Aires, ArgentinaMshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi atazikosa mechi za kirafiki za timu hiyo dhidi ya El S...
Na mwandishi wetuNahodha Msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr' amesema chini ya kocha Abdelhak Benchikha anaamini wataifunga Al Ahly na ...
Madrid, HispaniaKlabu ya Real Madrid imewasilisha malalamiko yake Shirikisho la Soka Hispania dhidi ya ilichokiita uzembe wa mwamuzi wa mechi yao...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Mashujaa FC, Mohamed Abdallah 'Baresi' amesema baada ya kutoka nafasi za chini kwenye msimamo wa Ligi Kuu NBC male...
Na mwandishi wetuFeisal Salum au Fei Toto ameidhihirishia timu yake ya zamani ya Yanga kwamba bado yuko vizuri baada ya kuifungia Azam FC bao la ...
Manchester, EnglandKocha wa Man United, Erik Ten Hag amemsifia mshambuliaji Amad Diallo (pichani) kwa kufunga bao la ushindi dhidi ya Liverpool k...
Na mwandshi wetuBondia wa Tanzania, Abdallah Abdallah ‘Katoto’ amevunjika mkono kwenye raundi ya mwisho ya pambano lake dhidi ya bondia wa Ethiop...