Berlin, UjerumaniUamuzi wa kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp kutangaza kuachana na timu hiyo baada ya msimu huu umepokewa vizuri na baadhi ya mash...
Kimataifa
Barcelona, HispaniaKocha wa Barcelona, Xavi Hernandez amesema kwamba atang'atuka kuinoa timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.Xavi, kiungo wa zamani w...
Na mwandishi wetuTimu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inatarajiwa kurejea nchini Jumatatu hii ikitokea Ivory Coast ilikokuwa inashiriki...
Madrid, HispaniaJaji mmoja wa Mahakama Kuu ya Hispania ametaka aliyekuwa kiongozi wa soka nchini humo, Luis Rubiales ashitakiwe kwa kitendo cha k...
Liverpool, EnglandKocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ametangaza kuachana na timu hiyo mara baada ya msimu huu kwa kile alichosema kwamba 'amechoka'...
Liverpool, EnglandNahodha na mshambuliaji wa timu ya Misri, Mohamed Salah ameanza tiba ya majeraha ya misuli ya nyuma ya goti huku akiahidi kufan...
Abdjan, Ivory CoastMatokeo mabaya kwenye fainali za Afcon yamesababisha makocha watatu kutoka nchi za Ghana, Algeria na wenyeji wa fainali hizo, ...
Abidjan, Ivory CoastTimu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeshindwa kufuzu hatua ya mtoano kwenye fainali za Afcon baada ya kukubali sare ya 0-...
Abidjan, Ivory CoastShirikisho la Soka Afrika (Caf) limeanza uchunguzi wa tuhuma za ubaguzi wa rangi kati ya kocha wa Morocco, Walid Regragui na ...
Na mwandishi wetuNahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta amesema kuelekea mechi ya kesho Jumatano dhidi ya DR Congo, wa...