Na mwandishi wetuMshambuliaji wa timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Simon Msuva amesema mechi yao dhidi ya Zanzibar Heroes ilikuwa ni kip...
Na mwandishi wetuBeki wa kulia wa Simba, Israel Mwenda (pichani) amesema ujio wa kocha Abdelhak Benchikha umemfanya ajihisi amezaliwa upya kutoka...
Manchester, EnglandHali ya mshambuliaji tegemeo wa Man City, Erling Haaland bado si nzuri ingawa kocha wake, Pep Guardiola ana matumaini ya mchez...
Na mwandishi wetuIhefu FC imemtangaza Mecky Maxime kuwa kocha wao mkuu mpya kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho chenye makazi yake Mbarali mkoani M...
London, EnglandArsenal leo Alhamisi inaumana na West Ham katika mechi yake ya mwisho ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu England EPL) huku ikisaka ...
Na mwandishi wetuWachezaji 13 wa mchezo wa Judo wameanza kambi Ukonga, Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Afrika ya All African ...
Paris, UfaransaWenyeji wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 wameahidi kuifanya michezo hiyo kuwa ya mfano wa kipekee katika kuhakikisha haihusish...
Na mwandishi wetu, ZanzibarTimu za Zanzibar Heroes na Kilimanjaro Stars zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bila kufungana katika mech...
Barcelona, HispaniaMshambuliaji Mbrazili, Vitor Roque (pichani) hatimaye amekamilisha taratibu za kujiunga na klabu ya Barcelona Jumatano hii na ...
Na mwandishi wetuKlabu ya Yanga imekusudia kuwashangaza mashabiki wao wa visiwani Zanzibar kwa kutambulisha baadhi ya nyota wapya iliyowasajili k...