Riyadh, Saudi ArabiaMbarazil, Vinícius Júnior ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) wakati Real Madrid ikiwanyuka mahasimu wa...
Abidjan, Ivory CoastBao la penalti la dakika za lala salama la nahodha wa Misri, Mohamed Salah limeiwezesha timu hiyo kutoka sare ya mabao 2-2 na...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameuagiza uongozi wa timu hiyo kumtafutia mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao na ...
London, EnglandKocha wa Man City, Mauricio Pochettino amepuuza habari kuwa Chelsea inahitaji kusajili straika katika kipindi cha usajili cha Janu...
Na mwandishi wetu Mshambuliaji wa Yanga, Crispine Ngushi amejiunga na timu ya Coastal Union ya Tanga kwa mkopo wa miezi sita hadi mwisho wa msimu...
Abidjan, Ivory CoastTimu ya taifa ya Cameroon au 'Indomitable Lions' ina matumaini ya kumtumia nahodha wake Vincent Aboubakar (pichani) kwenye fa...
Na mwandishi wetuWaziri wa Vijana, Michezo na Sanaa wa Kenya, Ababu Namwamba (pichani) ametuma salamu za kuitakia heri timu ya taifa ya Tanzania,...
Na mwandishi wetuKikosi cha Yanga kinatarajia kurejea mazoezini kesho Jumatatu kujiandaa na mechi mbili za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa A...
Na mwandishi wetuTimu ya Mlandege imefanikiwa kulitetea Kombe la Mapunduzi baada ya kuilaza Simba bao 1-0 katika mechi ya fainali iliyopigwa Juma...
Rio de Janeiro, BrazilKocha mpya wa timu ya taifa ya Brazil, Dorival Junior (pichani) amesema Neymar ni kati ya wachezaji watatu bora duniani lak...