Doha, QatarMajanga yanazidi kuiandama Brazil kabla ya mechi yake ya robo fainali na Korea Kusini, ikiwa bado haijajua hatma ya nyota wake Neymar,...
Doha, QatarMshambuliaji wa England, Harry Kane anaandamwa na ukame wa mabao kwenye fainali za Kombe la Dunia wakati leo Jumapili timu yake inauma...
Sao Paulo, BrazilMwanasoka gwiji wa zamani wa Brazil, Pele aliyedaiwa kuwa mgonjwa, amewatoa hofu mashabiki akisema kwamba ana nguvu na matumaini...
Doha, QatarMessi jana Jumamosi aliweka rekodi ya kufunga bao katika mechi yake ya 1,000 ya soka la hadhi ya juu na mechi ya 100 tangu awe nahodha...
Na mwandishi wetuKuelekea mchezo wao wa kesho Jumapili dhidi ya Tanzania Prisons, wachezaji Yanga wamedai kujiandaa vizuri na hawajakata tamaa li...
Doha, QatarBaada ya Ghana kushindwa kufuzu hatua ya mtoano kwenye fainali za Kombe la Dunia, kocha wa timu hiyo, Otto Addo ametangaza kung'atuka ...
Na mwandishi wetu, TangaSimba, leo Jumamosi imenyakua pointi tatu zilizoiwezesha kushika usukani wa Ligi Kuu NBC kwa kufikisha pointi 34 baada ya...
Al-Rayyan, QatarKocha wa Ureno, Fernando Santos amesema kwamba mchezaji wake, Cristiano Ronaldo alikaripiwa na mchezaji wa Korea Kusini, Cho Gue-...
Na mwandishi wetuKocha wa KMC, Thierry Hitimana amesema miongoni mwa nafasi atakazozifanyia marekebisho kuelekea mzunguko wa pili Ligi Kuu NBC ni...
Lusail, QatarCameroon imeweka rekodi ya kibabe ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Brazil katika mechi ya Kundi G ya fainali za Kombe la Dunia licha y...