London, EnglandMshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane sasa ndiye mfungaji anayeongoza kwa kufunga mabao mengi katika historia ya klabu hiy...
Manchester, EnglandKocha wa Man United, Erik ten Hag amemtetea kiungo wake, Casemiro kwa namna alivyomlinda Antony katika mechi na Crystal Palace...
Na mwandishi wetuYanga imeendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu NBC ikiendeleza dhamira yake ya kulitetea taji la ligi hiyo baada...
Manchester, EnglandBeki wa kati ya Man United, Raphael Varane amesema kwamba uamuzi wake wa kustaafu mapema kuichezea timu ya Taifa ya Ufaransa u...
Na mwandishi wetuSimba imeendelea kuifukuzia Yanga kileleni mwa Ligi Kuu NBC baada ya kuitandika Singida Big Stars mabao 3-1 katika mechi iliyopi...
Na mwandishi wetuTimu ya Simba itakwea pipa mapema kuifuata Horoya AC ya Guinea baada ya kumaliza mchezo wao wa kirafiki wa kimataifa keshokutwa ...
Madrid, HispaniaKipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois (pichani) amesema mchezaji mwenzake katika timu hiyo, Vinicius Junior anahitaji kulindwa za...
Manchester, EnglandKesi ya kupanga mikakati ya kubaka na shambulio la kimwili iliyokuwa ikimkabili mshambuliaji wa Man United, Mason Greenwood ha...
Manchester, EnglandBeki wa kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Manchester United, Raphael Varane ametangaza kustaafu kuichezea timu yak...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa timu ya soka ya Simba Queens, Charles Lukula, ameeleza kufurahishwa na kiwango bora cha wachezaji wake hadi kuibuk...