Na mwandishi wetuKipa namba moja Singida Big Stars, Beno Kakolanya ameushukuru uongozi wa timu hiyo kwa kumpa tuzo ya mchezaji bora mwezi Septemb...
Rio de Janeiro, BrazilMshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia, Neymar atalazimika kufanyiwa upasuaji baada y...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Azam FC, Youssouf Dabo (pichani) amewashauri mashabiki wa soka nchini kuacha mihemko ya kushinikiza kocha kufukuzw...
Liverpool, EnglandMshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah ametaka viongozi duniani kote kukaa pamoja ili kuzuia mauaji...
Na mwandishi wetuSiku chache baada ya kufutwa kazi na klabu ya Ihefu, kocha Zuberi Katwila (pichani) ameweka wazi kuwa hana muda wa kupumzika na ...
Barcelona, HispaniaRais wa klabu ya Barcelona, Joan Laporta ameshitakiwa kwa makosa ya rushwa yanayohusisha malipo yaliyofanywa katika kampuni zi...
Na mwandishi wetuMwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Salim Abdallah ‘Try Again’ amewaomba Watanzania wote kuisapoti Simba katika mchezo wa ufunguzi w...
Madrid, HispaniaMshambuliaji wa timu ya taifa ya Hispania, Jenni Hermoso aliyepigwa busu la mdomoni na aliyekuwa rais wa Shirikisho la Soka Hispa...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema mchezo ujao wa Ligi Kuu NBC dhidi ya Azam FC hautakuwa mwepesi kwao hivyo wanajianda...
Na mwandishi wetuTimu ya Pazi inatarajiwa kufungua pazia la mashindano ya kikapu ya East Division ya BAL kwa kucheza na Elan Cotton BBC ya Benin ...