Manchester, EnglandUjumbe wa mawasiliano ya simu kati ya staa wa zamani wa Man Utd, Ryan Giggs na aliyekuwa mpenzi wake, Kate Greville umesomwa m...
Manchester, EnglandMwanamke mmoja ameieleza mahakama jinsi mwanasoka wa Manchester City, Benjamin Mendy alivyotumia nguvu kumbaka licha ya yeye k...
Barcelona, HispaniaMshambuliaji wa Barcelona, Robert Lewandowski ameibiwa saa yenye thamani ya dola 71,000 sawa zaidi ya Sh 150 milioni za Kitanz...
Manchester, EnglandPolisi wa Manchester wamemuonya mshambuliaji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo baada ya kudaiwa kuvunja simu ya shabiki ...
London, EnglandKlabu ya Manchester City inatarajia kukumbana na rungu la FA kwa kitendo cha mashabiki wake kuvamia uwanja siku ambayo timu hiyo i...
Na mwandishi wetuKuanza vibaya kwa Kagera Sugar ikiruhusu kufungwa mabao 2-1 na Azam, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Francis Baraza amefunguka akisema ...
London, EnglandBilionea maarufu wa London, Sir Jim Ratcliffe anadaiwa kutaka kununua hisa katika klabu ya Manchester United.Sir Jim mwenye umri w...
Na Hassan KinguMechi za raundi ya kwanza za Ligi Kuu ya NBC zilizoanza katikati ya wiki hii, zimefikia tamati jana ikishuhudiwa matokeo ya sare y...
Manchester, EnglandKatika mkakati wa kuimarisha safu ya kiungo, Manchester United inadaiwa kuanza mipango ya kumsajili kiungo Mbrazil wa Real Mad...
Manchester, EnglandWinga wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amesema kwamba ana kitabu maalum chenye mambo aliyoyaita ya uwongo ambayo yameku...