Paris, UfaransaMwanasoka mkongwe wa Ufaransa, Zinedine Zidane 'Zizou inadaiwa amekubali kuwa kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa na ataanza rasmi ...
Na mwandishi wetuKatika mkakati wa kusaka matokeo mazuri, uongozi wa klabu ya Yanga umeamua kuliongezea nguvu benchi la ufundi na kumtangaza Abdi...
Liverpool, EnglandKocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp ameuelezea uvumi uliopo kwamba anaelekea kuchukua majukumu ya kuinoa klabu ya Real M...
Na mwandishi wetuSimba imechupa hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu NBC baada ya kuinyuka TRA United mabao 3-0 katika mechi iliyopigwa...
London, EnglandKocha wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri kuwa ukame wa kukosa kubeba taji kwa miaka sita limekuwa jambo gumu kwa timu hiyo kulikubal...
Na mwandishi wetuMzimu wa sare unaendelea kuisumbua Yanga katika Ligi Kuu NBC baada ya kujikuta ikipata matokeo ya sare ya bao 1-1 na Mtibwa Suga...
Tehran, IranShirikisho la Soka Iran limesisitiza kuwa nchi yao inaipinga Marekani na si fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika nchini humo kua...
Na mwandishi wetuMatarajio ya Simba kutoka na pointi tatu katika mechi yake ya Ligi Kuu NBC dhidi ya Pamba Jiji yamekwama baada ya timu hizo kuto...
Manchester, EnglandKocha wa Man City, Pep Guardiola amesema kuwa changamoto kubwa katika kazi yake ya ukocha ni timu ya Liverpool iliyokuwa chini...
Na mwandishi wetuMatokeo ya sare ya 0-0 yameendelea kushika kasi kwa timu ya Yanga katika Ligi Kuu NBC baada ya kupata matokeo hayo mara nyingine...