Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amekiri ana kazi ya kufanya kurekebisha kikosi chake kuelekea mechi zinazofuata baada ya sare y...
Sao Paulo, BrazilMwanasoka gwiji wa Brazil, Pele hali yake inaelezwa kuzidi kuwa mbaya kutokana na maradhi ya saratani (kansa) yanayomsumbua kuon...
London, EnglandKocha Pep Guardiola amesema muda wake katika klabu ya Man City utakuwa haujakamilika kama atashindwa kubeba taji la Ligi ya Mabing...
Na mwandishi wetu, KageraKagera Sugar leo Jumatano imeibana Simba kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 kat...
Na mwandishi wetuKinara wa mabao wa Ligi Kuu ya NBC msimu uliopita, George Mpole hatimaye amekamilisha rasmi shauku yake ya kutaka changamoto mpy...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amekanusha taarifa zilizopo za kuhusishwa kujiunga na timu y...
Na mwandishi wetuKocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amesema ushindi wa mabao 3-0 walioupata katika mechi dhidi ya Coastal Union umekuja baada y...
Na mwandishi wetuBaada ya juzi klabu ya Azam kueleza kuachana na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu huku kiungo huyo akihusishwa na mipango ya ku...
Madrid, HispaniaKiungo mkongwe wa Hispania, Andres Iniesta amesema kitendo cha Lionel Messi kushinda taji la Dunia hakiwezi kumaliza mjadala kuhu...
Na mwandishi wetuYanga leo Jumanne imepata ushindi mwingine wa pili katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuilaza Coastal Union ya ...