Na mwandishi wetuMshambuliaji wa Simba SC, Willy Onana amesema hana tatizo na kocha mkuu wa timu hiyo, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ na ana matum...
Riyadh, Saudi ArabiaAliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya Italia, Roberto Mancini ameteuliwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Saudi Arabia ...
Na mwandishi wetu, kampalaJKT Queens imetinga fainali ya michuano ya Shirikisho la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa wanawake ...
Geneva, UswisiShirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limemsimamisha kwa siku 90, Rais wa Shirikisho la Soka Hispania (REEF), Luis Rubiales wakati...
Na mwandishi wetuAzam FC imeeleza kuumizwa mno baada ya kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, ikikiri kuwa imewaumiza pia Watan...
Na mwandishi wetuYanga leo Jumamosi imeichapa Asas ya Djibout mabao 5-1 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 7-1 katika michuano ya Lig...
Madrid, HispaniaBaada ya Rais wa Shirikisho la Soka Hispania (REEF), Luis Rubiales kukataa kujiuzulu kwa kosa la kumpiga busu mdomoni mshambuliaj...
Na mwandishi wetuAzam FC imeaga rasmi michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika katika hatua ya awali ikitolewa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na Bahir ...
Na mwandishi wetuBaada ya kufunga bao lake la kwanza, mshambuliaji wa Yanga, Hafiz Konkoni amesema ameanza kuuwasha moto na atahakikisha anaifany...
Zurich, UswisiShirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limetangaza kuanza uchunguzi kuhusu kitendo cha Rais wa Shirikisho la Soka Hispania (REEF), ...