Paris, UfaransaMshambuliaji wa PSG, Ousmane Dembele yuko fiti kwa ajili ya mechi ya kesho Jumatano Mei 7, 2025 dhidi ya Arsenal baada ya kupona m...
Na mwandishi wetuSiku moja baada ya Yanga kutangaza kutocheza mechi yao na Simba, ratiba mpya ya Ligi Kuu NBC imetoka ikionesha kuwa timu hizo ma...
Rio de Janeiro, BrazilShrikisho la Soka Brazil (CBF) linatarajia kumtaja kocha mpya wa timu ya taifa ya soka ya wanaume mwishoni mwa wiki ijayo.K...
Na mwandishi wetuBao pekee la Fabrice Ngoma limeiwezesha Simba kutoka na ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania na hivyo kujiimarisha katika mbio z...
Liverpool, EnglandBeki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold (pichani) amekataa kusaini mkataba mpya na timu hiyo kwa kinachoaminika kuwa anataka ...
Na Hassan KinguBaada ya shauri ya Yanga kugonga mwamba kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Michezo (CAS) uongozi wa klabu hiyo umetangaza kushikilia ...
Munich, UjerumaniMshambuliaji wa Bayern Munich, Harry Kane amesema anajisikia raha kwa kufuta ukame wa vikombe baada ya timu yake kutwaa taji la ...
Na mwandishi wetuKocha wa Yanga, Miloud Hamdi (pichani) amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Aprili huku mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Iddi Kapwa...
London, EnglandArsenal imechapwa mabao 2-1 na Bournemouth jana Jumamosi katika Ligi Kuu England (EPL) lakini kocha Mikel Arteta hajababaika badal...
Na mwandishi wetuSimba imepambana na Mashujaa FC kwa mbinde hadi kupata ushindi wa mabao 2-1 baada ya kuwa nyuma kwa bao 1-0 katika mechi ya Ligi...