Manchester, EnglandKocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameongeza miaka miwili katika mkataba wake na klabu hiyo na hivyo ataendelea kukinoa k...
Na mwandishi wetuMshambuliaji wa Simba, Peter Banda atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa miezi mitatu kutokana na majeraha aliyonayo ya mguu wa ku...
Na mwandishi wetuHatimaye mshambuliaji wa Geita Gold, George Mpole amerejea kujiunga na timu yake akitarajiwa kuanza mazoezi na kikosi hicho hivi...
Na mwandishi wetu, MbeyaSimba leo Jumatano itakuwa ugenini kumenyana na Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya katika muendelezo wa mechi za ...
Doha, QatarNahodha wa timu ya Argentina, Lionel Messi amewaambia wachezaji wenzake wa timu hiyo kwamba hawana wa kumlaumu baada ya kipgo cha maba...
Na mwandishi wetu, SingidaYanga leo Jumanne imerejea kileleni kwenye Ligi Kuu NBC baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji ikinufaika n...
Doha, QatarKiungo wa Barcelona, Frenkie de Jong aliyekuwa akisakwa na Man United hatimaye ametangaza kwamba anataka kuichezea Barcelona kwa miaka...
Doha,, QatarEngland imezianza vizuri mbio za fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea Qatar kwa kuibugiza Iran mabao 6-2 katika mechi ya Kundi B i...
Doha, QatarEngland, Wales na mataifa mengine ya Ulaya hawatavaa tena vitambaa maalum vyenye ujumbe wa umoja na mapenzi kwa wote kwenye fainali za...
Doha, QatarEngland na Wales leo Jumatatu zinacheza mechi zao za kwanza za fainali za Kombe la Dunia, mechi ambazo pia zinawaweka mashabiki katika...