Na mwandishi wetuMshambuliaji mpya wa Simba, Saido Ntibazonkiza kwa mara ya kwanza ameeleza furaha yake ya kutua Simba huku akiahidi makubwa kwa ...
Liverpool, EnglandKocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema hasumbuliwi na nafasi za mabao anazopoteza Darwin Nunez katika mechi za karibuni badal...
Na mwandishi wetuKlabu ya Namungo leo Ijumaa imetangaza kumsajili kiungo wa kati, Frank Domayo ‘Chumvi’ kwa ajili ya kukiongezea nguvu kikosi hic...
Sao Paolo, BrazilMfalme wa soka na mwanasoka bora wa karne, Pele ambaye pia anatajwa kuwa ndiye mwanasoka bora wa wakati wote duniani, amefariki ...
Madrid, HispaniaKocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone amekubali kubeba lawama za mwenendo mbaya wa timu hiyo kwa msimu huu ingawa hakuwa tayari...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda, amewataka wachezaji wake kucheza kwa umakini wa hali ya juu mechi zao za Ligi Kuu NBC zilizosa...
Na mwandishi wetuPrisons imeeleza kuwa imetua Dar es Salaam mapema tangu jana ili kuhakikisha inajiweka sawa kuibuka na ushindi wa tatu mfululizo...
Na mwandishi wetuTimu ya Ruvu Shooting imetangaza rasmi kumnasa kiungo mshambuliaji, Mohamed Issa ‘Banka’ aliyekuwa akiitumikia Namungo FC ya Lin...
Na mwandishi wetuWinga wa Yanga, Denis Nkane atakuwa nje ya uwanja kwa wiki sita baada ya vipimo kuonesha kuwa amevunjika mfupa mdogo unaosababis...
Paris, UfaransaKocha wa klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Christophe Galtier amekanusha madai ya kuwapo kwa ugomvi kati ya Lionel Messi na Kyli...