Barcelona, HispaniaRais wa klabu ya Barcelona, Joan Laporta amethibitisha kuwa mtoto wa nyota wa zamani wa timu hiyo, Ronaldinho au Gaucho aitway...
Na mwandishi wetuMshambuliaji kinara wa Yanga, Fiston Mayele amesema mazoezi magumu wanayoyafanya tangu wafike nchini Tunisia yatawasaidia kufany...
Na mwandishi wetuWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezitakia heri timu za Simba na Yanga kwenda kuwakilisha vyema katika mashindanoo ya Ligi ya Mabin...
Saudi ArabiaCristiano Ronaldo jana Alhamisi aliifungia Al Nassr mabao manne katika mechi ya ligi dhidi ya Al Wehda, hapo hapo akaweka rekodi ya k...
London, EnglandKocha wa Tottenham Hotspur, Antonio Conte jana Alhamisi alirudi kazini na kuendelea na majukumu yake baada ya kufanyiwa upasuaji w...
Na mwandishi wetuBaada ya kuwasili mjini Tunis, Tunisia jana Yanga ilianza mazoezi ya kuondoa uchovu ili kuweka mwili imara na tayari kwa mchezo ...
Madrid, HispaniaMshambuliaji wa Real Madrid, Vinicius Junior amesema kwamba njia pekee ya kupambana na dhihaka za ubaguzi wa rangi kwenye viwanja...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ameeleza kuwa licha ya kumkosa kiungo mshambuliaji wake, Saido Ntibazonkiza, ...
Na mwandishi wetuNaibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul ametoa rai kwa halmashauri zote nchini kuzingatia matakwa ya Sera ya ...
Na mwandishi wetuWinga wa Yanga, Bernard Morrison aliyeachwa na timu hiyo ikielekea nchini Tunisia kutokana na majeraha ya nyonga tayari ameanza ...