Na mwandishi wetuMshambuliaji wa Singida Fountain Gate, Habib Kyombo ametamba kuwafunga waajiri wake wa zamani, Simba katika mchezo wa nusu faina...
Na mwandishi wetuMabondia 28 wanaounda timu ya taifa ya ngumi za ridhaa wameingia kambini wiki hii kujiandaa na mashindano mawili tofauti.Mashind...
Na mwandishi wetuWinga mpya wa Simba, Ladack Chasambi amesema amejiunga na timu hiyo kwa lengo la kucheza na siyo kukaa benchi.Chasambi ameyazung...
Na mwandishi wetuKlabu ya Geita Gold FC inatarajia kuweka kambi ya wiki mbili mkoani Morogoro kujiandaa na michezo ijayo ya Ligi Kuu NBC sambamba...
Na mwandishi wetuShirika la Utangazaji Tanzania (TBC) litakuwa mubashara kwa kuonesha mechi 52 na kutangaza kwa redio mechi 64 za michuano ya fai...
Berlin, UjerumaniMwanasoka na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani, Franz Beckenbauer amefariki dunia akiwa na miaka 78 akiacha rekodi y...
Na mwandishi wetuSimba imefuzu kwa mbinde nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi ikitoka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 mbele ya Jamhuri katika mech...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Adel Amrouche amefurahishwa na kiwango kilichooneshwa na Mohamed Hussein '...
Paris, UfaransaMshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa na klabu ya PSG, Kylian Mbappe inadaiwa amekubali kujiunga na klabu ya Real Madrid ya Hi...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kukosa muunganiko ndio sababu ya kupoteza mchezo wa robo fainali ya Kombe la Mapindu...