Na mwandishi wetuBaada ya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mapinduzi, kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema licha ya kutaka ubingwa pia ana...
Category: Soka
Na mwandishi wetuMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ (pichani) amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo k...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Ihefu, Mecky Maxime amewataka mabosi wa timu hiyo watarajie mambo makubwa kutokana na mifumo ya kisasa anayoipandi...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Azam FC, Youssoufa Dabo ameeleza kufurahishwa na ubora uliooneshwa na wachezaji wake katika michezo mitatu ya hatu...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Francis Baraza (pichani) amesema kwenye dirisha hili la usajili anatarajia kuimarisha kikosi chake kw...
Na mwandishi wetuBao la Nickson Kibabage lililopatikana katika dakika za nyongeza limeipa Yanga ushindi wa mabao 2-1 na kuiokoa kutoka sare ya ba...
Na mwandishi wetuTimu ya Mashujaa imeanza kuimarisha kikosi chao baada ya kukamilisha usajili wa wachezaji watatu katika dirisha hili la usajili ...
Na mwandishi wetuLicha ya kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKU kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amese...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amemtaka mchezaji mpya wa timu hiyo Augustine Okrah kuonesha kwa vitendo imani ambayo viongo...
Na mwandishi wetuNyota mpya wa Simba, Saleh Kabaraka (pichani) ameanza na mguu mzuri katika kikosi cha timu yake hiyo mpya baada ya kufunga bao w...