Na Hassan KinguFainali za soka za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2024 zinatarajia kuanza kuunguruma kesho Jumamosi nchini Ivory Coast ambapo mataifa 2...
Category: Kimataifa
Manchester, EnglandWinga wa Man United, Antony amekuwa na wakati mgumu kurudi kwenye ubora wake jambo ambalo kocha wake, Erik ten Hag anasema lim...
London, EnglandKocha wa zamani wa England ambaye pia ndiye kocha wa kwanza wa kigeni kuinoa timu hiyo, Sven-Goran Eriksson (pichani) ametangaza k...
Dortmund, UjerumaniWinga wa Man United na timu ya taifa ya England, Jadon Sancho hatimaye amerudi katika klabu yake ya zamani ya Borussia Dortmun...
Madrid, HispaniaReal Madrid imeanza kuhamishia nguvu zake katika kuhakikisha inamsajili mshambuliaji wa Man City, Erling Haaland baada ya kuingiw...
Na mwandishi wetuKiungo wa timu ya taifa, Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema wapo tayari kuiheshimisha Tanzania kwa kufanya vizuri kwen...
Manchester, EnglandKipa wa Man United na timu ya taifa ya Cameroon, Andre Onana anatarajia kukosa mechi ya kwanza ya Afcon dhidi ya Guinea ili ap...
Paris, UfaransaMatarajio ya Real Madrid kumsajili mshambuliaji wa PSG, Kylian Mbappe huenda yakakwama baada ya rais wa PSG, Nasser Al Khelaïfi (p...
Berlin, UjerumaniMwanasoka na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani, Franz Beckenbauer amefariki dunia akiwa na miaka 78 akiacha rekodi y...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Adel Amrouche amefurahishwa na kiwango kilichooneshwa na Mohamed Hussein '...