Na mwandishi wetuBeki wa Crystal Palace, Joachim Andersen amesema kwamba ametishiwa kuuawa yeye na familia yake baada ya kupigwa kichwa na mcheza...
Kimataifa
Manchester, EnglandManchester City leo imethibitisha kumsajili beki, Sergio Gomez kwa ada ya Pauni 11 milioni na mkataba wa miaka minne.Gomez amb...
Manchester, EnglandMahakama ya Manchester imeelezwa Jumatatu hii kwamba nyota wa zamani wa Man United, Ryan Giggs, baada ya kumpiga kichwa mpenzi...
Manchester, EnglandMahakama ya Chester Crown imeelezwa leo kuwa beki wa Manchester City, Benjamin Mendy alikuwa akitanua usiku na wanawake kabla ...
London, EnglandKocha wa Chelsea, Thomas Tuchel anachunguzwa na FA kwa kauli aliyoitoa dhidi ya mwamuzi Anthony Taylor aliyechezesha mechi ya Chel...
London, EnglandManchester United imelala kwa mabao 4-0 mbele ya Brentford Jumamosi hii, hicho kikiwa kipigo cha pili katika mechi ya pili ya Ligi...
London, EnglandNyota wa zamani wa Arsenal, Martin Keown amesema anashindwa kumuelewa kocha Mikel Arteta kwa kitendo chake cha kukubali kumuondoka...
Manchester, EnglandKlabu ya soka ya Manchester United imetoa onyo kwa klabu ya Paris Saint-German (PSG) ya Ufaransa ambayo inadaiwa kumnyatia, Ma...
Rabat, MoroccoShirikisho la Soka Morocco (FRMF) limetangaza kuachana na kocha wa timu ya Taifa, Vahid Halilhodzic ikiwa ni miezi mitatu kabla ya ...
Manchester, EnglandChris Daw, wakili wa mwanasoka wa zamani wa Man Utd, Ryan Giggs ameiambia Mahakama ya Manchester kuwa madai ya mpenzi wa zaman...