Munich, UjerumaniMshambuliaji wa Real Madrid, Vinícius Júnior amempamba kiungo mkongwe wa timu hiyo Toni Kroos (pichani) akisema anajua namna ya ...
Na mwandishi wetuBodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imezipongeza timu za Ken Gold ya Mbeya na Pamba ya Mwanza kwa kufanikiwa kupanda daraja kutoka ...
Na mwandishi wetuShirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeifungia klabu ya Yanga kusajili wachezaji wa kim...
Brussels, UbelgijiKipa wa timu ya taifa ya Ubelgiji, Thibaut Courtois (pichani) sasa ni rasmi kuwa hatoweza kuiwakilisha timu hiyo kwenye fainali...
Na mwandishi wetuSerikali kupitia Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ina mpango wa kuunda timu tatu imara za soka za taifa kulingana na umri a...
Abuja, NigeriaKocha wa Enyimba, Finidi George ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', nafasi ambayo pia ilikuwa ik...
Na mwandishi wetuKiungo wa Yanga SC, Mganda Khalid Aucho amewataka wapenda soka wamfurahie kipindi hiki akiendelea kulisakata kabumbu katika Ligi...
Manchester, EnglandKlabu ya Manchester United inadaiwa ipo tayari kusikiliza ofa kwa mchezaji wao yeyote wa kikosi cha kwanza ikiwa ni moja ya mi...
Na mwandishi wetuImeelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameanza mazoezi rasmi na kikosi cha timu hiyo juzi na anaendelea viz...
London, EnglandKocha wa Arsenal, Mikel Arteta amesema timu yake ipo tayari kukabiliana na Man City hadi mwisho katika kulisaka taji la Ligi Kuu E...