Kylian Mbappe Paris, UfaransaMama wa mshambuliaji wa PSG, Kylian Mbappé ambaye pia ndiye wakala wake, Fyza Lamari ameitaja Real Madrid timu ambay...
Na mwandishi wetuSerikali ya Tanzania imesema ujenzi wa viwanja vipya vya michezo kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2027...
London, EnglandWachezaji Marcus Rashford na Jordan Henderson wameachwa katika kikosi cha awali cha England kinachojiandaa kwa fainali za michuano...
Na mwandishi wetuMshambuliaji hatari wa Tanzania wa timu ya wanawake ya Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga amekutana kwa mara ya kwanza na n...
London, EnglandBaada ya Man City kubeba taji la Ligi Kuu England (EPL), kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amewakikishia mashabiki wa timu hiyo kwamb...
Na mwandishi wetuKuelekea mchezo wao wa kesho Jumanne dhidi ya Geita Gold, kaimu kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema maandalizi yamekamilika...
Manchester, EnglandKocha wa Man City, Pep Guardiola ambaye jana Jumapili aliweka rekodi ya kubeba taji la Ligi Kuu England, (EPL) kwa mara ya nne...
Na mwandishi wetuNahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta na timu yake ya PAOK wamerejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya b...
Liverpool, EnglandKocha wa Liverpool, Jurgen Klopp jana Jumapili aliwaaga mashabiki wa timu hiyo huku akiliimba jina la mrithi wake Arne Slot mbe...
Na mwandishi wetuKocha wa Ihefu FC, Mecky Maxime amesema hana cha kuwalaumu wachezaji wake kwa kupoteza mechi yao ya nusu fainali ya Kombe la Shi...