Na mwandishi wetuSimba imeanza kuonja ugumu wa Ligi Kuu NBC msimu huu wa 2024-25 baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Coastal Union katika ...
Porto, UrenoMajanga yanazidi kumuandama kiungo na nahodha wa Man United, Bruno Fernandes ambaye jana Alhamisi alipewa kadi nyekundu katika mechi ...
Na mwandishi wetuYanga imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu NBC baada ya kuichapa Pamba Jiji mabao 4-0 katika mechi iliyopigwa Alhamisi hii jioni kw...
Manchester, EnglandKocha wa Man United, Erik ten Hag amesema licha ya timu yake kuanza vibaya msimu huu kwa kupoteza mechi nne na kushinda mbili ...
Na mwandishi wetuTimu ya soka ya wanawake ya Yanga Princess imeibuka kidedea katika mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii kwa kuwalaza mahasimu ...
Manchester, EnglandMan United imemkatia rufaa nahodha wake Bruno Fernandes baada ya kupewa kadi nyekundu katika mechi ya Jumapili dhidi ya Totten...
Na mwandishi wetuBaada ya kukosekana katika mechi mbili za kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025, hatimaye nahodha wa Taifa S...
Atlanta, MarekaniNyota wa zamani wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Dikembe Mutombo (pichani) amefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani (kansa) ya...
Na mwandishi wetuYanga na Simba zimetoka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 kila moja katika mechi zao za Jumapili hii za Ligi Kuu NBC wakati Azam F...
Munich, UjerumaniKlabu ya Bayern Munich imemfanyia vipimo mshambuliaji wake, Harry Kane aliyeumia enka jana Jumamosi katika mechi dhidi ya Bayer ...