Na mwandishi wetuMshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ditram Nchimbi ametua kwenye kikosi cha Fountain Gate inayoshiriki Ligi ya Championship.Awali, ...
Milan, ItaliaMwanasoka nyota wa zamani wa klabu za Chelsea na Juventus, Gianluca Vialli amefariki dunia akiwa na miaka 58 kwa maradhi ya saratani...
Na mwandishi wetuLicha ya Azam FC kuwa timu ya kwanza kutinga nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, imeeleza kuwa bado haijaridhidhwa na kiwango ch...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Geita Gold, Fred Felix Minziro ameeleza kuwa na hali ngumu kwenye kikosi chake kwa sasa baada ya kuondokewa na wac...
Na mwandishi wetuKocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amekubali matokeo baada ya kutolewa kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendelea v...
London, EnglandMshambuliaji wa Tottenham na timu ya Taifa ya England, Harry Kane amesema kwamba hatosahau alivyokosa penalti katika mechi ya robo...
Barcelona, HispaniaMambo si mazuri kwa mshambuliaji wa Barcelona, Robert Lewandowski baada ya mahakama ya michezo nchini Hispania kuamua adhabu y...
Na mwandishi wetuUongozi wa Yanga umeeleza kuwa umemaliza majadiliano na mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ ndiyo maana sasa umeamua kuacha sheria ...
Na mwandishi wetuKiungo mpya wa Yanga, Mudathir Yahya ameeleza kuwa ana jukumu kubwa la kuonesha thamani yake ndani ya kikosi cha Yanga baada ya ...
Na mwandishi wetuKiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama leo Jumatano ametangazwa kuibuka kidedea na kuwa Mchezaji Bora wa Simba mwezi Desemb...