Madrid, HispaniaKocha mkuu wa timu ya taifa ya Hispania, Luis de la Fuente amepuuza habari ya kuwapo tofauti kati yake na klabu ya Barcelona kuhu...
Na mwandishi wetuUtani wa klabu kongwe za soka nchini Simba na Yanga sasa umehamia kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mashabiki ...
Porto, UrenoMshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, amethibitisha kuwa fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakuwa za mwisho kwake...
Na mwandishi wetuKocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Gamondi amewaita katika kikosi chake Kelvin Nashon wa Singida Black Star...
Manchester, EnglandMshambuliaji majeruhi wa Man United, Benjamin Sesko atazikosa mechi muhimu za kufuzu Kombe la Dunia na timu yake ya taifa ya S...
Na mwandishi wetuYanga imewashusha mahasimu wake, Simba kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu NBC baada ya kuichapa KMC mabao 4-1 katika mechi iliyoch...
Berlin, UjerumaniBao la kichwa la Harry Kane alilofunga dakika za nyongeza limeiokoa Bayern Munich na hatimaye kutoka sare ya 2-2 dhidi ya Union ...
Na mwandishi wetuSimba imetoka kifua mbele kwenye dimba la Meja Jenerali Isamuhyo baada ya kuitandika JKT Tanzania mabao 2-1 katika mechi ya Ligi...
London, EnglandKocha wa Man United, Ruben Amorim ametwaa tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba kwa Ligi Kuu England (EPL), tuzo ambayo ameibeba kwa ...
Na mwandishi wetuJina la mshambuliaji Kelvin John limo katika orodha ya wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars watakaocheza mechi ya...