Na mwandishi wetuBingwa mpya wa mkanda wa WBO Afrika, Hassan Mwakinyo amesema bado ana hamu ya kuendelea kucheza mapambano makubwa kulinda heshim...
Barcelona, HispaniaKocha wa Arsenal, Mikel Ateta ni miongoni mwa makocha watatu wanaotajwa kuchukua nafasi ya Xavi wa Barca pamoja na Jurgen Klop...
Riyadh, Saudi ArabiaKipa wa zamani wa Man United ambaye kwa sasa hana timu, amekuwa akiwindwa na timu kadhaa za Ulaya na kwa sasa ya Al Shabab ya...
Berlin, UjerumaniUamuzi wa kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp kutangaza kuachana na timu hiyo baada ya msimu huu umepokewa vizuri na baadhi ya mash...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha, amesema lengo lake ni kufanya vizuri na kushinda mataji akiwa na Wekundu wa Msimbazi nd...
Barcelona, HispaniaKocha wa Barcelona, Xavi Hernandez amesema kwamba atang'atuka kuinoa timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.Xavi, kiungo wa zamani w...
Na mwandishi wetuTimu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inatarajiwa kurejea nchini Jumatatu hii ikitokea Ivory Coast ilikokuwa inashiriki...
Na mwandishi wetuTimu ya taifa ya ndondi inatarajia kuondoka nchini Januari 31 kwenda Kigali, Rwanda kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Afrika Ma...
Na mwandishi wetuKikosi cha Singida Fountain Gate kinatarajia kuweka kambi jijini Mwanza kwa ajili ya kujiwinda na michezo miwili ya Ligi Kuu NBC...
Na mwandishi wetuImeelezwa kuwa Ligi Kuu NBC inatarajia kuendelea wakati wowote kuanzia sasa baada ya timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kut...