Na mwandishi wetuSimba SC inaendelea kujitafuta, kujipanga kwa ajili ya kuonesha umwamba wake msimu ujao baada ya kushindwa kutamba katika misimu...
Soka
Na mwandishi wetuKlabu ya Simba SC imefanikiwa kuinasa saini ya mlinzi wa kulia, Kelvin Kijili *(pichani) kutoka Singida Fountain Gate kwa mkatab...
Na mwandishi wetuMshambuliaji wa TP Mazembe, Jean Othos Baleke ambaye amewahi kuichezea Simba, ameelezwa kutua Yanga kwa mkataba wa mkopo wa mwak...
Na mwandishi wetuStephanie Aziz Ki hatimaye amemaliza utata baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga na hivyo kumaliza ...
Na mwandishi wetuWafalme wawili wa soka la Tanzania, Simba na Yanga wameendelea kutanua makucha yao baada ya leo Jumatatu kutambulisha vifaa vipy...
Na mwandishi wetuTimu ya Yanga SC inatarajia kuvaana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na Nasrredine Nabi katika mchezo maalum wa Kom...
Na mwandishi wetuMehboob Manji ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji (pichani) amesema baba yake amb...
Na mwandishi wetuSimba imewaeleza wazi mashabiki wake kuwa wanapaswa kufurahi kutokana na usajili unaoendelea kufanyika katika kikosi hicho kwani...
Na mwandishi wetuKaimu kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman 'Morocco' ameeleza wazi kupiga chini ofa za klabu ali...
Na mwandishi wetuKlabu ya soka ya Simba imemtangaza, Fadlu Davids kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Juma Mgunda aliyekuwa aki...