Madrid, HispaniaKiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham amesema Vinícius Júnior na wachezaji wengine wenye asili ya Afrika wanahitaji kuungwa mkon...
Category: Kimataifa
Barcelona, HispaniaKocha wa Barca, Xavi Hernández amemlalamikia mwamuzi kwa kumpa kadi nyekundu mchezaji wake, Ronald Araújo kuwa ndiyo sababu il...
Paris, UfaransaKocha wa PSG, Luis Enrique amesema anaamini timu yake inaweza kupindua meza na kuibuka na ushindi katika mechi ya robo fainali ya ...
Abu Dhabi, UAEShirikisho la Soka Saudi Arabia (SAFF) litapitia upya sheria zinazowahusu mashabiki wa soka baada ya tukio la shabiki mmoja kumchap...
London, EnglandRufaa ya Everton kupinga kupokwa pointi kwa kosa la kwenda kinyume na kanuni za Ligi Kuu England za matumizi ya fedha, itasiklizwa...
London, EnglandBaada ya Arsenal kulala kwa mabao 2-0 mbele ya Aston Villa, kocha wa timu hiyo, Mikel Arteta amewataka wachezaji wake kusimama ima...
Leverkusen, UjerumaniKlabu ya Bayer Leverkusen hatimaye imebeba kwa mara ya kwanza taji la Ligi Kuu Ujerumani maarufu Bundesliga baada ya kuibuka...
Barcelona, HispaniaBeki wa zamani wa klabu za Barcelona na timu ya taifa ya Brazil, Dani Alves ameonesha jeuri ya fedha baada ya kumrudishia baba...
Manchester, EnglandMan City leo Jumanne itaumana na Real Madrid katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ambayo inatarajiwa pia kutaw...
London, EnglandKocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amesema uzoefu wao mkubwa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya utakuwa faida kubwa katika mechi na ...