Na mwandishi wetuSimba ya kibingwa imeaga kibingwa michuano mipya ya Ligi ya Soka Afrika (AFL) ikiangushwa na kanuni ya bao la ugenini baada ya k...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema ameanza kuziona dalili za kubeba ubingwa kufuatia kiwango bora ambacho kimeoneshwa n...
Na mwandishi wetuWachezaji nyota wa Yanga wamempongeza kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' kwa kiwango kikubwa alichokionesha timu hizo zi...
Rio de Janeiro, BrazilRais wa Shirikisho la Soka Brazil (CBF), Ednaldo Rodrigues ameeleza kusikitishwa na muendelezo wa vitendo vya ubaguzi wa ra...
Na mwandishi wetuAliyewahi kuwa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Crecentius Magori amesema ili wafanikiwe kuitoa Al Ahly, wachezaji wanatakiwa kujitoa ...
Na mwandishi wetuBondia wa ngumi za kulipwa Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’(pichani) anatarajiwa kupanda ulingoni Novemba 25, mwaka huu kwenye Ukumbi...
Na mwandishi wetuStephanie Aziz Ki kwa mara nyingine amedhihirisha thamani yake baada ya kufunga mabao matatu (hat trick) na kuiwezesha Yanga kup...
Na mwandishi wetuRais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Gianni Infantino ameeleza furaha yake na kulipongeza Shirikisho la Soka Tanzania...
Na mwandishi wetuKung'oka kwa makocha wa klabu za Ligi Kuu NBC tangu kuanza msimu huu, kumewaibua baadhi ya makocha wazawa na kueleza kuwa vitend...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu Azam FC, Youssouph Dabo amewaeleza wachezaji wake kuonesha thamani yao ya juu katika kila mchezo ukiwemo dhidi ya Yan...