Na mwandishi wetuSimba kesho Ijumaa inatarajia kushuka dimbani katika Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam kuvaana na Ruvu Shooting ikiwa ni mch...
Category: Soka
Na mwandishi wetuRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Yanga kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini kweny...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ameuagiza uongozi wa Simba kusajili wachezaji watano wenye ubora wa hali ya j...
Na mwandishi wetuYanga imetanguliza mguu mmoja katika kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya jioni ya leo Jumatano kuifu...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime (pichani) amesema anataka kushinda mechi zote tatu ili kumaliza msimu kwenye nafasi tan...
Na mwandishi wetuKocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amewaomba mashabiki wao kuwa na subira na kuendelea kuipa sapoti timu yao katika mechi tatu...
Na mwandishi wetuMshambuliaji wa FC Lupopo, George Mpole amesema huu ni wakati wa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele kutamba na kutwaa tuzo ya ...
Na mwandishi wetuTimu ya Azam imeeleza kuwa kuna mengi yamewakwamisha msimu huu wasifanye vizuri kwenye Ligi Kuu NBC lakini wamefurahi mno kuting...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kikosi chake kipo kamili, kina ari na watacheza kwa tahadhari mechi ya kesho Jumata...
Na mwandishi wetuKocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Mohamed Abadallah ‘Bares’ amewapongeza wachezaji wake kutokana na kutangazwa kinara wa tuzo ya k...