Manchester, EnglandKocha wa zamani wa Man United, Jose Mourinho amesema angeweza kuwa na matokeo mazuri kama angeaminiwa na kupewa ushirikiano ka...
Category: Kimataifa
Madrid, HispaniaKocha wa Barca, Xavi Hernandez na kipa wake Marc-Andre ter Stegen wamelalamikia kukosekana teknolojia ya 'goal line' baada ya tim...
Paris, UfaransaKocha wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane au Zizou inadaiwa anafuatilia kwa karibu kinachoendelea kwa kocha wa Man United, E...
London, EnglandMshambuliaji wa Man City, Erling Haaland huenda akaikosa mechi ya nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Chelsea itakayopigwa leo Ju...
Berlin, UjerumaniKiungo wa zamani wa Man United, Bastian Schweinsteiger amesema kwamba aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho alimpiga maruf...
Turin, ItaliaMahakama ya Michezo nchini Italia imeitaka klabu ya Juventus kumlipa winga wa zamani wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo Pauni 8.3 milio...
Munich, UjerumaniKocha wa Bayern Munich anayejiandaa kuachana na timu hiyo, Thomas Tuchel amejawa furaha akijivunia kuiwezesha timu hiyo kufuzu n...
Rio de Janeiro, BrazilMshambuliaji mkongwe wa Brazil, Romario ambaye kwa sasa ana miaka 58, amejisajili kuichezea timu ya daraja la pili ya Ameri...
Munich, UjerumaniMshambuliaji wa Bayern, Munich, Harry Kane amesema kwamba msimu huu unaweza kuwa ni msimu waliofeli kama hawatabeba taji la Ligi...
Madrid, HispaniaKiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham amesema Vinícius Júnior na wachezaji wengine wenye asili ya Afrika wanahitaji kuungwa mkon...