Na mwandishi wetuTimu ya wanawake ya JKT Queens leo Jumamosi imeibuka kinara wa michuano ya Ngao ya Jamii kwa kuilaza Yanga Princess bao 1-0 kati...
Category: Soka
Na mwandishi wetuSimba imeanza kuonja ugumu wa Ligi Kuu NBC msimu huu wa 2024-25 baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Coastal Union katika ...
Na mwandishi wetuYanga imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu NBC baada ya kuichapa Pamba Jiji mabao 4-0 katika mechi iliyopigwa Alhamisi hii jioni kw...
Na mwandishi wetuTimu ya soka ya wanawake ya Yanga Princess imeibuka kidedea katika mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii kwa kuwalaza mahasimu ...
Na mwandishi wetuYanga na Simba zimetoka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 kila moja katika mechi zao za Jumapili hii za Ligi Kuu NBC wakati Azam F...
Na mwandishi wetuSimba imetoka kifua mbele kwenye dimba la New Amaan, Zanzibar baada ya kuilaza Azam FC mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu NBC il...
Na mwandishi wetuTimu ya Yanga imefanikiwa kutoka uwanjani na pointi tatu mbele ya Ken Gold FC baada ya kuichapa bao 1-0 kaika mechi ya Ligi Kuu ...
Na mwandishi wetuSimba imefuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuichapa Ahly Tripoli ya Libya mabao 3-1 katika mechi iliyopigwa J...
Na mwandishi wetuYanga imeendeleza ubabe katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibugiza Commercial Bank of Ethiopia (CBE) mabao 6-...
Addis Ababa, EthiopiaBao pekee la Prince Dube limeiwezesha Yanga kutamba ugenini leo Jumamosi ikitoka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Benki ya Biashar...